mkiwa mtandaoni mnatiana ujinga kwamba @diamondplatnumz kafulia au atapotea aisee Big no ila si Shanghai sana maana ata paka kuna muda akijiona katika kioo anajiona simba .
.
Chukua hili Leo simba @diamondplatnumz tumemtoa mbali mnoo na tupo nae Sana'a sio Leo wa kesho na kwakua mnataka kutupanda kichwani tutawatia hasira sanaaa .
MMOJA ANAPANDIA BUS UBUNGO MMOJA MBAGARA RANGI TATU AMBAPO UKIHESABU ATA MABUS 20 KWA SIKU HAYAFIKI NENDA UBUNGO PALE KUNA MORE THAN 1000 BUS PER DAY
#SIMBA
#CHIBUUU
#WCB4LIFE. NGUVU YA MUNGU
9/22/2019, 6:52:44 PM