Life Time! π¬π₯ #MakingJuakali #AssDirector #Mkukila @mkukila_phones
Na Kazi Kaacha Kumbe!! ππΎππΎππΎ @mkukila_phones @eliudsamwel @selemanimasenga #JuakaliAssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Mama Naye @mamadiba_wajuakali Hataki Kuamini Ukweli Tuupe Muda Eeh!!! π¬π₯π #JuakaliAssDirector #Mkukila #ChichiJuakali π¬π₯
EZRA Ukweli Upe Muda! Launching New Series Vodacom Tv #AssDirector #Mkukila π¬π₯
Urafiki Sio Urafiki Usipochanganywa Na Kazi!! Nipo na Rafiki angu Madame Simba @mwanaher π¬π₯ #JuakaliAssDirector #Mkukila #ChichiMkukila
Maneno Ni Silaha,Jilinde Kuyatamka Vema Ili Uwe Salama! βπΎ @mkukila_phones @mkukila_phones Mahitaji Yote ya Simu Cheki na sisi Mk Store @mkukila_phones Upate Offer Kibao! #MkakaMuuzaSimu #MkakaDirector #Mkukila #ChichiJuakali π±β
Ilikuwa Wakati Mzuri Sana Leo Ocean Road Hospital kujoin na Wagonjwa wa Saratani (Kansa) βοΈ Team Juakali na Watu/Wadau/Mastar Mnali Mbali kwenye Campaign ya #FightCancer Cc @lamataleah @hemedyphd @mlelandro @mamadiba_wajuakali @jolmaster @kelvin_sound #Mkukila #ChichiJuakali
Be Careful Who Push away,Real Ones Donβt Come Back! π @mkukila_phones #JuakaliAssDirector #Mkukila #ChichiJuakali
Tulikuwa Tunafuraha tu Wenyewe Lakiniiiπ₯Ή @mkukila_phones @eliudsamwel @mamadiba_wajuakali @mamaima01_ @jimmymafufu #JuakaliAssDirector #Mkukila #ChichiJuakali π¬π₯
Naungana na Luka @isarito_tmt Katika Kipindi Hiki Anachopitia Yeye na Familia Yake Katika Kumsapoti Femi @official_mulky Kuwa Tuko Pamoja Naye! Lakini Pia Wenda Familia yangu Wale Beberu Family Labda watakuwa wananisikiliza Sasa πππ Mana Mjomba Lusajo Amekuwa Mkorofi Sana @jimmymafufu Hata Mjomba Mwai @mamaima01_ na Hata Anganile @eliudsamwel Labda atakuwa na Heshima sasa! ππ½ππΎπ¬π₯ #FreeCancer #FreeCancerFemi #AwarenessIsPower ππΎπͺπΎ #Juakali - #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Hivi Mjomba Mwaipopo @mamaima01_ Anajua Hata Yanayoendelea Kweli? Tumuambie au Tumuache?? π€ππΎ @mkukila_phones #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Beberu Family! Amani inatoweka sasaπ₯΅ @mkukila_phones #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Kweli Mambo Yanapoelekea Muwa Mazuri Shetani naye Huwa Hachezi Mbali Kwelii π₯΅ @mkukila_phones #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Usiku ule wa Tuzo!!! ππ¬π₯ #FilamuNiBiashara @tanzania_film_board πΈ @kidetejr #Mkukila #Chichi
Mama Ajiandae na Mimi Nataka Nimpelekeee Mkwe Wake Sasaπ Au Nisubiri Kwanza??? @mkukila_phones @mamadiba_wajuakali @lamataleah #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Fam! Tumfariji mgonjwa wetu @official_mulky She is very Talented! #TeamJuakali #Chichi #Mkukila
Madam Boss @lamataleah Aliniagiza simu toka MK Store @mkukila_phones iPhone 8plus kama ambayo alikuwa akiitumia Maria @mimi_mvrs11 Kwenye kushootia @juakali_tamthilia ili tupate scene ya kuvunjwa kwa simu na iendane na uhalia. Hii yote katika kujali kazi kuifanya katika Levels za kimataifa! Japo simu nililipa lkn moyo ulishtuka sana kuona tunavunja kweli simu. Boss tukupe Maua yako tu @lamataleah lakini nikushukuru kwa kuendelea kunisapoti hadi kwenye biashara yangu. Nakuombea Mungu akuzidishie kila leo! ππΎβ€ Mana unafanya mambo yawe rahisi hata mwanangu @farris_babyboy Anaenjoy sana π All in All We are Blessed sana na All team tuko vzuri! #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi
14 Pro ya Queen Chugga Maria @mimi_mvrs11 Imetoka MK Store @mkukila_phones Karibuni Sana Wapendwa,Mk Store @mkukila_phones Tunazo Simu Aina Zote,Wale wa Kuexchange/Top Up Allowed! β€ππΎπ₯π± #Making #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi @mkukila_phones @saidmkukila
Silikiliza|Tafakari|Tenda Vile Maelekezo Yanapotolewa! It was a Great Time to Work with you best actor from Kenya! @pascaltokodi Cc @isarito_tmt @official_mulky #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
Thankyou Chugga Queen @mimi_mvrs11 for ur Support Mwanangu kwa Kuchukua 14 Pro Max & Nokia Kitochi β€βπΎ Asante kwa kuchagua @mkukila_phones @mkukila_phones Mnakaribishwa wote!! EXCHANGE/TOP UP Nafanya!! Tsup/Call: 071844005 0782742722 #MkStore #Mkukilaphone #iPhone #Samsung #Vivo #Infinix #Motorola #Nokia #Oppo #Oneplus # #iStore #iOs #Brandnew #Used #Dubai #Uk #Usa #TopUp #Exchand #Mkukila
Beberu Family Unaijua wewe?? Neno Moja kwa Familia Yangu! π #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯
KILA CHENYE MWANZO KINA MWISHO WAKE! π #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π₯ nimeumia sana. . . . . . . #maishamagicbongoniyetu #tullah_og #gainwithmtaaraw #followtrain #harmonize #duma #dstv #alikiba #azamtv #zuchu #diamondplatnumz #lamataleah
Bro Kwanza Nauli Unayo Kweli?? Tuanzie hapo mana sijaelewa kaka angu na umeenda South Africa πΏπ¦Kama mzigo tu,Shemeji amekubeba beba tu! π’ @gabozigamba @godliver_gordian #JuakaliForAfrica π #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π₯π¬
Mimi Ndo Yule Mkaka,Ambaye ni Baba wa Mtoto Mmoja na Ndio Ass Director wa Juakali @juakali_tamthilia Na Leo Usiku 3:30 Si Yakukosa Dstv #MMB ,Mambo Mazuri Kwa Ajili yenu Wapenzi Wetu... Hodi Hodi South Africa πΏπ¦ #JuakaliForAfricaπ #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi
Mzee @quickrocka Kichwa Kishakuwa na VITU VINGIπ€ Ila Ndo Ukubwa na Uanaume Mzee Prof Bill Amezingua Saana,Ila Kitanda Akizai Haramu Kaka.. Jiandae Kuitwa ANKO DADDY FULEE π€ͺππ¬π₯ #Juakali #AssDirector #Mkukila #Chichi π¬π¬
KAULI Series, Leo sehemu ya 3 @cloudsplus πΊ Saa 3:30 Usiku #Screenplay #Written #Mkukila
Muuza Magazeti... Short Film & Advert #M_POWER #Vodacom #Company Now its Done. M_Power ni mkombozi wetu, jiunge leo unufaike nayo, waweza kupata mkopo wa biashara.. Ni njia rahisi na salama. Fika banda lolote la voda lililo karibu nawe #Supporting_Model #Said #Mkukila Cc @vodacomtanzania